Membe akanusha ACT Wazalendo kuungana na CHADEMA "Mimi ndie Mgombea Urais"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Bernard Membe amekanusha taarifa za kuwa wamejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika ngazi ya Urais akiseme yeye ndio Mgombea Urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo.

Membe amesema, “Mimi ndiyo Mgombea Urais wa JMT kupitia Chama cha ACT-Wazalendo. Mimi ndiye niliyekabidhiwa Ilani ya Chama hicho kuinadi kote nchini kwenye Uchaguzi huu”.


Kauli yake inakuja baada ya Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad kumuidhinisha Tundu Lissu (CHADEMA) kuwa Mgombea wao wa Urais wa Tanzania.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Membe, Jamani. Membe nakuhurumia.
    Si, Maalim, si Zitto.
    Hata Tundu, wote wammeamua kukupiga Nondo,tena ya kichwani.ili usitafakari

    JITATHMINI, WANAKUFANYA KINYAGO.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Amka, AMKA MEMBE BABA.

      WAMEAMUA KUKUZIKA(RIP) Oct tatu.

      Simamisha RUZUKU KUWAPA. Wamekusaliti. kumb 03/10/20 siku 25 kabla ya uchaguzi wana lao ovu juu yako. Ndoto ya Uraisi wataichakachua,na kumpa mpinzani wako. Ina umaa kwelikweli.

      Kuwa Makini.

      Delete
  2. Membe Jamani. Membe...!!! nakuhurumia.
    Si, Maalim, si Zitto.
    Hata Tundu, wote wammeamua kukupiga Nondo,tena ya kichwani.ili usitafakari

    JITATHMINI, WANAKUFANYA KINYAGO. HUKU
    WANAKULIA CHAKO. INAKUWAJE SASA...???

    MSAFIRI MMOJA, WABEBA MAKASHA WENGI.
    UMEGEUKA BUZII? AU WAMEKUGEUZA NA KUKUGEUKIA. JAMANI..!!!, BINAADAMU..!!

    Membe,Wamesha kusaliti.Njoo kwetu UPDP TUNA SERA NZURI NA INAUZIKA

    ReplyDelete
  3. Membe, wewe Raisi. Unanngoja kuapishwa
    Bwege aikwisha sema. Dunia inajua Figisu figisu ya vilema isikubabaishe
    Endelea na kapeni kama kawa.

    Benard Camelius Membe 2020 oyeeee!!!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad