Mfungwa aliyemshambu R Kelly adai alitumwa na serikali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Hatimaye mfungwa aliyemshambulia mwimbaji wa RnB Duniani, Robert Kelly maarufu R Kelly wakiwa gererani amejitokeza na kuzungumza sababu hasa za kumshambulia mwimbaji huyo.

Mfungwa huyo aliyejitambulisha kwa jina la Jeremiah Shane Farmer, 39 amesema alitumwa na serikali kufanya shambulizi hilo la kumdhuru #RKelly, "The government made me attack R. Kelly" alisema Jeremiah.


Kwa mujibu wa The Blast, Jeremiah ametambulika kuwa ni mmoja kati ya memba hatari wa kundi la kihalifu maarufu kama Latin Kings.


Sambamba na hilo, #Jeremiah alidai kuwa, alifanya tukio hilo kwa lengo la kupata umaarufu na dunia kufahamu kwamba serikali inanuka rushwa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad