Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Chalinze afunguka hali ya Lulu Diva, Belle 9 na Bonge la Nyau

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Chalinze Sudy Msakamali amezungumza hali ya Kiafya ya Wasanii Lulu Diva, Belle na Bonge la Nyau waliopata ajali maeneo ya jirani na Chalinze ambapo amesema wanaendelea vizuri.
"Wamepata majeraha ya kawaida, Belle 9 amepata mchubuko kichwani amepewa dawa , Lulu Diva yeye kidogo amepata zaidi ya kichwa ila tumegundua maumivu yake hayawezi kumletea matatizo" - Dkt.Sudy

Wasanii hao walipata ajali ya gari alfajiri ya leo Chalinze Pwani wakiwa safarini kwenda DSM.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad