Mgombea Urais wa CCM Ndugu JOHN POMBE MAGUFULI amefanikiwa kuwaunganisha wana-KIGOMA

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




*NGOME YAVUNJWA KIGOMA* : Mgombea Urais wa CCM Ndugu JOHN  POMBE MAGUFULI amefanikiwa kuwaunganisha wana-KIGOMA kwa Ujumla wao katika Mkutano wa Kihistoria uliofanyika katika Viwanja Vya Lake Tanganyika. Kwa Umoja wao wana KIGOMA wameitikia na Kumpokea kwa Makumi Elfu. Kigoma Yote Kupata wabunge wa CCM 2020.  Takwimu zinaonesha T2020JPM atashinda kwa zaidi ya asilimia 85 huku Hali ya Kukubalika Miongoni mwa wananchi ikiendelea kuongezeka kila siku @ccmtanzania @MagufuliJP

#VitendoVinaSauti

#T2020JPM✅

#KuraKwaMagufuli2020

#ChaguaMaendeleo








-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad