Mhadhiri wa chuo kikuu Marekani aliyedanganya kuwa ni Mmarekani mweusi ajiuzulu, aeleza sababu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mhadhiri wa chuo kikuu nchini Marekani ambaye anachunguzwa baada ya kukiri kwamba alidanganya yeye ni mweusi amejiuzulu , Chuo kikuu cha George Washington kimethibitisha.

Jessica Krug, profesa mshiriki wa Chuo Kikuu cha George Washington, alikiri kwamba yeye ni ”mzungu mwenye asili ya kiyahudi” na mwanamke kutoka mji wa Kansas.


Ujumbe huo ulisema: “Nimejijengea maisha ya uongo kwamba mimi ni mtu mweusi, na kudanganya katika kila hatua ya maisha yangu,”


Kulingana na makala iliyochapishwa Alhamisi, Jessica Krug alisema aliamini visivyo kuhusu utambulisho, ” kwamba sikuwa na haki ya kudai: Ni mwafrika wa kwanza kutoka Afrika Kaskazini, ni mtu mweusi mwenye asili ya Marekani, kisha mwenye asili ya Carribean kutoka Bronx”.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad