Miezi miwili baada ya kuachiwa huru toka gerezani, rapper wa zamani LOON amekutana na Diddy.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Loon (45) ambaye alikuwa memba wa Label ya Bad Boys, alihukumiwa kifungo cha miaka 14 gerezani (Julai 2013) kwa kuhusishwa na dhamira ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroin ambapo alikamatwa mjini Brussels.


Julai 29 mwaka huu Loon (Amir Junaid Muhadith) aliachiwa huru baada ya kutumikia kifungo chake kwa miaka 9.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad