AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Loon (45) ambaye alikuwa memba wa Label ya Bad Boys, alihukumiwa kifungo cha miaka 14 gerezani (Julai 2013) kwa kuhusishwa na dhamira ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroin ambapo alikamatwa mjini Brussels.
Julai 29 mwaka huu Loon (Amir Junaid Muhadith) aliachiwa huru baada ya kutumikia kifungo chake kwa miaka 9.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK