Msanii Lavalava Muziki umemkataa kabisa inabidi atafutiwe kazi inayomfaa...Afanye Kazi Gani nje ya Muziki?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kati ya tasnia inayokuwa kwa haraka sana na yenye mashabiki wengi sana ni muziki na sanaa ya uigizaji

Wadau wengi wamewekeza lakini kwenye huu muziki Diamond Platinumz na uwekezaji wake kidogo umeanza kumlipa na umeonesha kumlipa sana kupitia wasanii alio wasign mfano

- Harmonize

-Mboso

-Rayvany

-Zuchu

-Lavalava

Lakini uwekezaji kwa msanii wa Lavalava umekuwa wa kupoteza zaidi kwakuwa ni wazi inatumika nguvu kubwa na hela nyingi kumsukuma lakini ni wazi Miziki umemkataa kabisa

Msanii Lavalava amejitahidi sana kuupenda Muziki lakini Muziki na Mashabiki wamemkataa kabisa ni wazi Muziki auwezi kumtoa wala hatoweza rudisha hela ya uwekezaji!

 

Msanii Lavalava anapaswa kukaa chini na Diamond kumueleza ambacho anaona ataweza fanya nje ya Muziki kitakacho mletea pesa hili asaidiwe kukifanya!

 

Pengine hata Mashabiki wanaweza msaidia kufikiri kitu cha kufanya nje ya Muziki!

Wasalaaam

By Ruttashobolwa/JF

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad