Mtaalamu "Supu ya Pweza Haiongezi Nguvu za Kiume"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkuu wa Idara ya Utengamao katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dkt. Abdallah Makala amesema utumiaji wa Supu ya Pweza hauongezi nguvu za kiume. Amesema utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume si mzuri lakini ufanyaji mazoezi ni njia bora zaidi

Amefafanua kuwa, tafiti zinaonesha mazoezi husaidia kupunguza madhara kama kisukari, magonjwa ya moyo lakini pia, yanachangia uwezo wa ufanyaji tendo la ndoa. Kwa upande wa wanawake, utafiti ulionesha mazoezi huchangamsha ufanyaji wa tendo la ndoa na kuridhika mapema
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad