AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Idara ya Utengamao katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dkt. Abdallah Makala amesema utumiaji wa Supu ya Pweza hauongezi nguvu za kiume. Amesema utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume si mzuri lakini ufanyaji mazoezi ni njia bora zaidi
Amefafanua kuwa, tafiti zinaonesha mazoezi husaidia kupunguza madhara kama kisukari, magonjwa ya moyo lakini pia, yanachangia uwezo wa ufanyaji tendo la ndoa. Kwa upande wa wanawake, utafiti ulionesha mazoezi huchangamsha ufanyaji wa tendo la ndoa na kuridhika mapema
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK