Mtangazaji B Dozen amvalisha pete mpenzi wake wa miaka mingi...Alikuwa Mfanyakazi Mwenzake Clouds FM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katika hali ambayo haikutarajiwa na wengi mtangazaji mashuhuri nchini Hamis Mandi aka Bdozen ambaye kwa sasa anatangazia kituo cha redio cha E-FM amemvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi aitwaye Faudhia.

Hii ni baada ya kuweka mahusiano yao private kwa miaka mingi sana...Faudhia alikuwa ni mfanyakazi mwenzake Clouds FM

Tazama Tukio Hapa:


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad