Mti waota ndani ya mapafu ya binadamu, alimeza mbegu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwaka 2009 Artyom Sidorkin raia wa Urusi alifanyiwa upasuaji na kutolewa mti wa urefu wa Centimeter 5 uliokuwa umeanza kuota kwenye mapafu, Madaktari walisema inawezekana alivuta mbegu ya mti huo, alikuwa anakohoa aamu, maumivu kifuani.


Taarifa iliyoripotiwa na mtandao wa Daily Mail wa Uingereza April 14, 2009 ilisema kuwa baada ya Artyom kulalamika maumivu ya kifua na kushindwa kupumua vizuri, alipelekwa hospitali ambako baada ya X-ray alikutwa na mti wa urefu wa cm 5 ulioanza kumea kwenye mapafu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad