AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwaka 2009 Artyom Sidorkin raia wa Urusi alifanyiwa upasuaji na kutolewa mti wa urefu wa Centimeter 5 uliokuwa umeanza kuota kwenye mapafu, Madaktari walisema inawezekana alivuta mbegu ya mti huo, alikuwa anakohoa aamu, maumivu kifuani.
Taarifa iliyoripotiwa na mtandao wa Daily Mail wa Uingereza April 14, 2009 ilisema kuwa baada ya Artyom kulalamika maumivu ya kifua na kushindwa kupumua vizuri, alipelekwa hospitali ambako baada ya X-ray alikutwa na mti wa urefu wa cm 5 ulioanza kumea kwenye mapafu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK