Muna Love 'Naenda Msikitini, Sipangiwi Imani'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MTUMISHI wa Mungu na masanii, Muna Love, ameeleza kuwa hawezi kupangiwa kwenye imani na kuna wakati anaenda hadi msikitini kwa sababu mama yake alikuwa Muislam.

Amesema ameamua kuishi kwenye maisha yake binafsi, hataki kupangiwa kitu chochote kwenye upande wa kumtangaza Mungu kwani Waislam na Wakristo wote sawa na nia yake ni kufikisha ujumbe.

“Sasa hivi naishi maisha yangu binafsi na maisha ya mtandao, pia nina mapatano yangu na Mungu ambayo hakuna mtu anayejua nitafanya kitu ambacho sijali binaadam atasema nini, najua simkosei Mungu.

“Mimi nipo kwa ajili ya kumtangaza, kuna wakati naenda hadi msikitini kwa sababu hata mama yangu alikuwa Muislam,. kwa hiyo siwezi kupangiwa kwenye imani, naamini wote tupo sawa,” ameeleza Muna Love.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad