Muonekano wa Mjengo Mpya wa Christian Bella Baada ya Kukamilika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Huu ndiyo mjengo wa mwimbaji Christian Bella wa Gorofa moja ambao ameujenga kwa miaka na upo maeneo ya Mbweni Jijini Dar-Es-Salaam.



Bella amesema tayari ameshahamia kwenye mjengo huo na yupo mbioni kumalizia mjengo wake mwingine wa Gorofa alioanza kuujenga hivi karibuni.


Hizi hapa chini ni Picha zinazoonesha kwa nje mjengo wa Christian Bella ukiwa umekamilika.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad