Mwanamuziki Offset Hana Hata Habari Kuwa Card B Ameomba Talaka...Odokeza Kuhusu Ujio Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Offset ni kama amefunga masikio, hataki kusikia ya Cardi B na sakata la talaka. Kupitia ukurasa wake wa Instagram jana alidokeza kuhusu ujio wa wimbo wake mpya.


Rapa huyo wa kundi la Migos ambaye jina lake limeongozwa kuandikwa kwenye headline za habari za burudani wiki hii, ameweka picha iliyoambatana na caption isemayo "Set 2.0" pia aliweka video na kisha kuandika "I want That Cash Now" huku wengi wakidai ndio jina la ngoma hiyo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad