Mzee wa Miaka 84 Ahukumiwa Miaka Minne Jela kwa Kugushi Hati

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemhukumu Mzee wa miaka 84,Ally Baruhani Macho miaka 4 jela kwa kosa la kugushi hati ya kiwanja.

Hukumu hiyo imetolewa hii leo Septemba 21,2020 na Hakimu Mkazi Rashidi Chaungu ambapo upande wa jamhuri ulikuwa na jumla ya mashahidi wa 5 na upande wa utetezi ulikuwa na mashahidi 4.


Hakimu Chaungu amesema kuwa ameridhishwa na ushahidi uliotolewa na upande wa Jamhuri dhidi ya Mshtakiwa, Ally Baruhani Macho.


Aidha Upande wa Jamhuri uliowakilishwa na Mawakili Ashura Mzava na Kija Elias umeeka nia ya kukataa rufaa dhidi ya adhabu hiyo iliyotolewa kwa Mshitakiwa.


Mshtakiwa Ally Baruhani Macho anadaiwa kutenda kosa la kugushi na kuwasilisha Nyaraka za uongo ambapo aligushi hati ya kiwanja Plot namba 894 block G kilichopo Tegeta Jijini Dar es salaam Mali ya Haidari Kavira.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad