Naombeni Ushauri Kila Nikifanya Mapenzi Bila Kinga Napata Ujauzito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mimi ni Msichana wa Miaka 25 , Tatizo langu ni kuwa kila nikifanya mapenzi na mvulana bila kutumia zana lazima nipate mimba, nilianza kuwajua wanaume toka nikiwa na miaka 21 siku niliyotolewa bikira nilipata mimba pia ikanibidi niitoe kwa vile nilikuwa nasoma ..sasa kuanzia kipindi hicho nikifanya tu lazima nipate mimba nimeshatoa mimba kumi na tano mpaka sasa, Nimejaribu kufuata Calender lakini wapi...Je hili ni Tatizo ama nimelogwa ? Nimekuwa mtu wa kufanya abortion kila wakati mpaka naogopa sasa nisije haribu kizazi changu nikashindwa kuzaa muda muafaka wa kuwa na mtoto....................

Help pliz

Mimi Mdau ..Msinitukane jamani

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. una kizazi cha karibu ndo maana

    ReplyDelete
  2. Tuliza nyege zako hadi ukiolewa,usiwe manun'gaembe tulizana sikila MTU wa kumvulia chupi

    ReplyDelete
  3. Kimbia haraka kwa mchungaji Gwajima ukaombewe. Maana sio bureuna pepo baya sana.

    ReplyDelete
  4. Fuatiatilia vizuri menstrual yako ili kujua ni lini siku zako za hatari

    ReplyDelete
  5. WALA USIOGOPE, FANYA HIVI FUNGUA TOVUTI HII https://menstrual-cycle-calculator.com/ AU
    https://www.babymed.com/menstruation-menstrual-period-cycle-calculator-calendar, SASA HUMO KUNA CALCULATORS AMBAZO ZITAKUSAIDIA KUJUA NI SIKU ZIPI UPO SALAMA AU HAUPO SALAMA. NI NZURI SANA MAANA HATA MIMI HUWA NATUMIA KUANGALIA BEFORE KU...DO

    ReplyDelete
  6. kwanza una bahati ya watoto, na ukiendelea kuwatoa, siku ukiwahitaji hutawapata ng'o!, una miaka 25 basi zaa ili usiendelee kuwa muuaji!!

    ReplyDelete
  7. Yaani ulitaka kusudi kuu la mapenzi liondolewe ibaki kuwa starehe tu ama? Ukipanda unatarajia kuvuna ndio kanuni.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Neema ya Mungu ikusaidie, maana umeua viumbe wengi ambao hawana hatia.
      Badilika, mrudie muumba wako naye atakusamehe

      Delete

Top Post Ad