Nchi yetu inaongoza kuwa mahali penye usalama katika Afrika Mashariki- JPM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



 “Tumejenga Hospitali ya Wilaya hapa Bahi kwa Tsh. Bil 1.8 ambayo ujenzi wake umefikia 95%, tumejenga vituo vya afya 3 kwa Tsh. Bil 1.5, nataka hii Hospitali ya Wilaya ikamilike haraka ili Wananchi waanze kutibiwa hapa, ndio maana nawaomba mnipe kura nikamalizie palipobaki”-JPM


“Nchi yetu ni miongoni mwa Nchi 10 zenye maendeleo ya juu Afrika, na katika Global Peace Index yaani mahali penye usalama zaidi, katika ripoti ya mwaka 2020 Nchi yetu inaongoza kuwa mahali penye peace katika Afrika Mashariki, Afrika nzima sisi ni Watu wa 6 na Dunia ni wa 52” -JPM

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad