AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles amesema wanaanza kuchukua hatua kwa wagombea wanaotoa lugha za matusi pamoja zile zinazohatarisha usalama.
Amesema hayo Jumanne hii, 15 Septemba , 2020 katika Ukumbi Wa Mwalimu Nyerere (JNICC) kwenye Mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi pamoja na watoa huduma wa mtandao (blogs na Online Tv)
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK