NEC: Tunaanza kuchukua hatua kwa wagombea wanaotoa matusi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera Charles amesema wanaanza kuchukua hatua kwa wagombea wanaotoa lugha za matusi pamoja zile zinazohatarisha usalama.

Amesema hayo Jumanne hii, 15 Septemba , 2020 katika Ukumbi Wa Mwalimu Nyerere (JNICC) kwenye Mkutano wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi pamoja na watoa huduma wa mtandao (blogs na Online Tv)

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad