Nedy Music "Situmii Kiki Kukuza Mziki Wangu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Nedy Music amjibu shabiki yake katika ukurasa wake wa Instagram kuwa hatumii kiki ili kuendeleza muziki wake


Nedy music alimjibu shabiki huyo kwa kumwambia hatumii kiki kama wasanii wengine ili kukuza muziki wake.


"Broh I don't do kiki,nafanya muziki ambao watu wamenijua kupitia huo na kunisapoti." Nedy music aliandika hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram.


Pia mashabiki wamemuuliza kuhusu kutoa kazi zake mpya maana amekaa kipindi kirefu bila kutoa nyimbo ambapo imepelekea mashabiki zake kukosa burudani ya muziki kutoka kwake 


Nedy music amewaahidi mashabiki hao kuwa hivi karibuni atatoa ngoma mpya ambayo itawafanya mashabiki zake waburudike tena

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad