AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nedy music alimjibu shabiki huyo kwa kumwambia hatumii kiki kama wasanii wengine ili kukuza muziki wake.
"Broh I don't do kiki,nafanya muziki ambao watu wamenijua kupitia huo na kunisapoti." Nedy music aliandika hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Pia mashabiki wamemuuliza kuhusu kutoa kazi zake mpya maana amekaa kipindi kirefu bila kutoa nyimbo ambapo imepelekea mashabiki zake kukosa burudani ya muziki kutoka kwake
Nedy music amewaahidi mashabiki hao kuwa hivi karibuni atatoa ngoma mpya ambayo itawafanya mashabiki zake waburudike tena
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK