Nina furaha sana kuwa Tanzania kwa wazazi wetu- Rais Ndayishimiye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



 “Nina furaha sanasana kuwa Tanzania kwa Wazazi wetu Tanzania, kwanza naomba msamaha labda Kiswahili changu kitakuwa kibovu lakini nitajitahidi, mimi sikuzaliwa karibu na mpaka wa Tanzania, sikuzaliwa Bujumbura lakini nitajitahidi” Rais NDAYISHIMIYE

“Zamani Watanzania wakiona Mrundi anakuja hapa walikuwa wanadhani kuna mambo mabaya Burundi ila sasa mimi nimekuja na salamu za Warundi wanawasalimia sana, kwa niaba yao nataka nikupongeze JPM kwasababu umejenga Tanzania, umeibadilisha Tanzania”” Rais NDAYISHIMIYE



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad