Pazia la VPL kufunguliwa leo kwa mechi 6

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2020-21 inaanza leo kwa jumla ya mechi 6 kupigwa ikiwemo mchezo utakaohusisha mabingwa watetezi Simba SC dhidi ya wageni wa ligi waliopanda daraja msimu huu Ihefu FC ya Mbeya.



Msimu huu utashuhudia timu 18 zikimenyana kumsaka bingwa baada ya tyimu 2 kupunguzwa kutoka idadi ya timu 20 zilizoshiriki misimu kadhaa iliyopita.

Katika msimu huu timu zilizopanda daraja ni tatu ambazo ni Ihefu FC, Gwambina FC na Dodoma Jiji.

Mechi za raundi ya kwanza.

JUMAPILI
Namungo FC Vs Coastal Union
Biashara Vs Gwambina FC
Dodoma Jiji Vs Mwadui FC
Ihefu FC Vs Simba SC
Mtibwa Sugar Vs Ruvu Shooting
Yanga SC Vs Tanzania Prison

JUMATATU
KMC VS Mbeya City
Kagera Sugar Vs JKT Tanzania
Azam FC Vs Polisi Tanzania
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad