Rapa Tekashi 6ix9ine Afunguka "Kuna wakati nikiwa gerezani Nilitaka Kujitoa Uhai"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rapa Tekashi 6ix9ine alitaka kujiua kipindi yupo gerezani, amefunguka kwa mara ya kwanza kwenye mahojiano na mtangazaji Lisa Evers wa FOX 5 New York.

6ix9ine amesema ilifika kipindi baada ya kusongwa na mawazo sana pia shinikizo, alifkiria kujiua.

"Shinikizo lipo juu sana, Kiakili, nafikiri mtu angeweza kujitoa uhai. Kuna wakati nikiwa gerezani, nilifikiria hivyo. Kunakupa mawazo sana kwa sababu unajiona kwenye taarifa ya habari kila siku kwamba ni hivi na vile, kisha unabaki kujiuliza haya yataisha lini?" alisema Rapa huyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad