AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
6ix9ine amesema ilifika kipindi baada ya kusongwa na mawazo sana pia shinikizo, alifkiria kujiua.
"Shinikizo lipo juu sana, Kiakili, nafikiri mtu angeweza kujitoa uhai. Kuna wakati nikiwa gerezani, nilifikiria hivyo. Kunakupa mawazo sana kwa sababu unajiona kwenye taarifa ya habari kila siku kwamba ni hivi na vile, kisha unabaki kujiuliza haya yataisha lini?" alisema Rapa huyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK