Shule ya Byamungu Islamic Yateketea Kwa Moto....Wanatoto 10 Wafariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





 Watoto 10 wamepoteza maisha baada ya Shule ya Msingi Byamungu Islamic iliyoko Kata ya Itera wilayani Kyerwa mkoani Kagera, kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo Septemba 14, 2020.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa umri wa wanafunzi waliofariki ni kati ya miaka sita hadi 12.

Bweni lililoungua ni la wanafunzi wa kiume ambapo majeruhi 6 wamepelekwa Hospital ya Nyakahanga
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad