Snura "Mwanamke wa Kwanza Kuvalishwa kofia na Rais, Mungu Akitaka Kukuheshimisha Hakuna Anaeweza Kukudharaulisha"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ambaye pia ni mgombea wa urais kupitia chama cha mapinduzi CCM leo septemba 21, 2020 ameendelea na utaratibu wake wa kuwavalisha kofia wasanii ambapo leo Menja Kunta na Snura ndio waliobahatika kuvalishwa kofia hizo.

Baada ya tukio hilo Snura Mushi amejigamba na kuwa yeye amekuwa mwanamke wa kwanza kuvalishwa kofia na Mh. Rais.


Kupitia ukurasa wake wa instagramu ameandika haya;


''Nashukuru sana kuwa MWANAMKE WA KWANZA KUVISHWA KOFIA NA RAISI WETU JPM..

MSANII WA KIKE WA KWANZA RAIS KUVUA KOFIA YAKE NA KUNIVALISHA (hii ni kubwa sana kwangu).. Ndani ya mkoa wa TABORA sitosahau historia hii, kwangu Mimi ni baraka kubwa sana nimepewa leo na Mh Rais Dr John Pombe Magufuli kwa kuniheshimisha NAKUSHUKURU SANA NA ASANTE SANA, ama kwa hakika huyu ni Raisi mwenye upendo sana, na kupitia chama changu cha MAPINDUZI leo nimepata heshima hii kubwa kama mwanamke.. Asanteni sana viongozi wangu wote wa chama🙏🙏..

"HAKIKA Mungu akitaka kukuheshimisha hakuna anaeweza kukudharaulisha ALHAMDULILLAH MUNGU UMENIJIBU JIBU KUBWA SANA.

CCM OYEEE 💚💚 MAGUFULI OYEEE'' @snuramushi

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad