Tembo 30 wa Zimbabwe 'Waliuawa na Bakteria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Maafisa wa wanyamapori nchini Zimbabwe wanashuku ugonjwa wa bakteria unaofahamika kama haemorrhagic septicaemia ndio chanzo cha vifo vya zaidi ya tembo 30 mwisho wa mwezi Agosti.

Sampuli zimetumwa ili kufanyiwa uchunguzi zaidi.

Tembo hao walipatikana wakiwa wamelala kifudifudi, hali ambayo wataalamu wanaashiria walikufa ghafla.

Wasimamizi wa mbuga za wanyama hawaamini waliuawa na wawindaji haramu, kwa sababu hawakutolewa pembe zao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad