Tommy Flavour: Alichofanya Alikiba ‘Midiocre’ wengi hawakutegemea, ndio mana anaitwa king wa Bongo Fleva

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki wa Bongo Fleva aliyopo kwenye lebo ya @kingsmusicrecords inayosimamiwa na @officialalikiba @tommyflavour amezungumzia kuhusu EP yake ambayo anatarajia kuiachia siku zijazo.


Mbali na hilo @tommyflavour amezungumzia ngoma yake mpya ya THE ONE na kuwaomba mashabiki kuendelea kusapoti muziki wake na wasanii wote wa Bongo Fleva.


Tommy pia amemshukuru msanii kutoka lebo ya #WCB @officialzuchu na kuthibisha kuwa yeye ni shabiki namba moja wa muziki wa @officialzuchu huku akiitaja ngoma ya #Wana kama ngoma yake bora kutoka kwa msanii huyo.


“Wimbo wa @officialalikiba #Midiocre ni mkubwa sana kwanza nilishangaa kuona @officialalikiba amebadilika hivyo na hivyo mi nimependa kuona anabadilikabadilika”


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad