Tundu Lissu Amlilia ‘Mr White’ ”Alikuwa Mtu Mwema

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya Chadema, Tundu Lissu  leo Septemba 15, 2020 ametoa pole na kutuma salamu za rambi rambi kufuatia kifo cha Salim Abdullah Turky ‘Mr White’ ambaye alikuwa mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo la Mpendae, Unguja kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)




”Usiku wa leo nimepokea taarifa za msiba wa aliyekuwa Mbunge wa Mpendae, Salim Turky. Ile ndege Iliyonipeleka Nairobi – Kenya Ilidhaminiwa na Salim Turky. Alikuwa mtu mwema, alikuwa mtu safi”


“Wengi wanasema kuwa kupona kwangu ilikuwa ni miujiza ya Mungu, wanasema kwa usahihi kabisa. Salim Turky alichangia muujiza huo, leo napenda kutoa salaam za pole kwa ndugu jamaa na familia yake. Mwenyezi Mungu awatie faraja na nguvu kwa msiba huu.” ameyasema Tundu Lissu  akiwa katika mkutano wake wa kampeni.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad