Uchebe: Nimempa Shilole Talaka Tatu, Akae Eda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



FUNDI gereji na mfanyabiashara Uchebe amefunguka kinachondelea baada ya kuvunjika kwa ndoa yake na aliyekuwa mkewe msaniii Shilole, ambapo amesema ametoa talaka za awamu hivyo anamtaka Shilole akae eda ili kupatiwa huduma.



Akizungumza na East Africa Radio, Uchebe amesema hawezi kusema kama ndoa ni mbaya kisa yake imeingia dosari kwa sababu ndoa ni jambo la kheri japo kama vijana wanakutana na mambo mengi.


 


“Matatizo yanaponikuta huwa namuomba sana Mungu nisifanye jambo la ajabu, maana wanawake wana vitu viwili kwanza anapomkosea mumewe hakubali anataka kushindana naye na kwenye ndoa ndiyo inawabeba sana,” amesema Uchebe.


 


Aidha, ameendelea kusema; “Mitihani ipo na inatokea ni moja ya hatua kwenye maisha, sasa hivi nimejipunguza kidogo sipo karibu na mwenzangu na nimetoa talaka ambazo zina awamu pia anatakiwa akae heda kupata huduma, ukitaka kuoa kuna misingi mingi unatakiwa kuifuata.”

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad