Ujumbe wa harmonize akiwatambulisha Killy na Cheed waliokimbia Kings music ya Alikiba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wasanii wa muziki wa Bongo Fleva ambao walikuwa chini ya lebo ya @officialalikiba @kingsmusicrecords ambao ni @officialcheed na @officialkilly_tz waliotambulishwa rasmi kwenye lebo ya @kondegang iliyopo chini ya @harmonize_tz.



Kupitia ukurasa wa instagram wa Harmonize amepost ujumbe huu akiwatambulisha:-

“BROTHER’S FOR EVER ..!!!! WELCOME @officialkilly_tz & @officialcheed SILAHA YETU NI UPENDO PAMOJA NA KAZI MAANA HIZO NDIO HAJA ZA WANANCHI WANAOIFANYA LEO HII KONDE MUSIC WORLDWIDE @kondegang RECORD LABEL KUBWA…!!!! SO LET’S DO IT…!!!!!!
#KONDEGANG4EVERYBODY 🌍🎼🎹🎆🎈🎇🎉🧨🧨🎊🎊🎈🎆🎇🎊🎉🎇🎆🎆🎈🎈 THE FATHER NIGHT 11/9/2020″
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad