Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali, yanasema mamia ya wafungwa hupoteza maisha kila mwaka katika mazingira kama hayo.
"Hatuna chakula, hatuna dawa na hata pia mahali pa kulala. Tunapewa tu kikombe kimoja cha uji na hiyo baada ya masaa 72, " amesema mmoja wa wafungwa hao.
Kiongozi wa gereza la Bunia, Meja Camille Nzonzi, amesema hali hii inasababishwa na serikali.
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
0 Comments