Wafungwa Zaidi ya 200 Watoroka Gerezani Uganda...Wakimbilia Mlimani..

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


ZAIDI ya wafungwa 200 wa Gereza la Singila, Moroto Kaskazini Mashariki mwa Uganda, wametoroka gerezani baada ya kufanikiwa kumuua askari mmoja katika majibizano makali ya risasi.

 

Kamishna wa Magereza nchini Uganda, Johnson Byabashaija, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kwamba wafungwa hao waliwazidi nguvu askari magereza na kufanikiwa kuvunja ghala la silaha ambapo waliiba bunduki 15 walizozitumia kufanikisha kutoroka kwao.

 

Byabashaija amesema vyombo vya ulinzi na usalama vinaendelea na msako mkali kwenye Mlima Moroto walikotorokea wafungwa hao.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad