Wakazi 'Kuwa Mbunifu ni Sawa na KUWA Mhalifu Kwa Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Webiro Wassira maarufu Wakazi ambaye ni Msanii na Mgombea Ubunge Jimbo la Ukonga kwa tiketi ya ACT-Wazalendo amesema Serikali ya Tanzania haipo katika kukuza ubunifu kutokana na Sheria ya Maudhui iliyopitishwa

Amesema kumtaka msanii ambaye amefanya ubunifu kuwa na Tsh. Laki tano ili kuiweka kazi yake YouTube itafanya wabunifu wadogo kushindwa au kuonekana wahalifu kwa kukiuka sheria

Wakazi ametambua umuhimu wa uwepo wa Sera ya Sanaa na Wasanii ili kuwaweka wasanii katika mazingira mazuri na kukuza ubunifu

Webiro Wassira (Wakazi), ameyasema haya leo wakati wa uzinduzi wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha ACT-Wazalendo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad