Wananchi Kuweni Makini Kabla ya Kununua Nagari Kutoka Japan

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kufuatia malalamiko ya Watanzania kudhulumiwa wanapojaribu kununua magari mtandaoni, kutotumiwa kwa wakati na kutumiwa magari yasiyo na sifa, Ubalozi wa Tanzania nchini Japan umewataka wafanye uchunguzi kabla ya kutuma fedha


Umesema ni vigumu kwa fedha ambazo imeshatumwa kurejeshwa kutokana na Sheria za nchini humo kwakuwa Mamlaka huanzisha shauri dhidi ya mtu/kampuni iliyokiuka mkataba na sio ankara za malipo ambazo wengi huwa nazo


Aidha, Watanzania wanaoagiza magari wametakiwa kuangalia tovuti zaidi ya moja wanapotaka kufanya hivyo ili kufahamu bei za wastani za magari

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad