AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sasa hivi hili limekuwa kama janga la Taifa.
Single ladies wengi sana unakuta mwanamke mpaka miaka 33 hana hata mchumba wa kusingizia.
Na ni wengi mitaani tunawaona na wengi wao wakiona umri unazidi basi wanaamua kuzaa na kuwa single mums.
Nyie mnaonaje ni tabia hazikidhi mwanamke kuolewa?
Au ni gharama za harusi?
Wanaume please please muoe watoto wasio na baba wanazidi kuongezeka.
Na hamuwatendei haki wanawake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK