Wanawake Wanataka Ndoa Lakini Hawapati, Ni Kweli Hamna Waoaji?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kuna kitu kinanichanganya ni kweli hamna waoaji siku hizi au wanawake wanachagua sana?

Sasa hivi hili limekuwa kama janga la Taifa.
Single ladies wengi sana unakuta mwanamke mpaka miaka 33 hana hata mchumba wa kusingizia.

Na ni wengi mitaani tunawaona na wengi wao wakiona umri unazidi basi wanaamua kuzaa na kuwa single mums.

Nyie mnaonaje ni tabia hazikidhi mwanamke kuolewa?

Au ni gharama za harusi?

Wanaume please please muoe watoto wasio na baba wanazidi kuongezeka.

Na hamuwatendei haki wanawake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad