Wema Sepetu Ajipunguzia Umri, Sikuzaliwa 1988

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MALKIA wa Bongo Movies, Wema Sepetu,  amekiri kutoa taarifa zisizo za kweli kuhusu  mwaka wa kuzaliwa kwake na umri wake.

Wema ambaye leo Septemba 28, ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwake, ameeleza kuwa si kweli kwamba alizaliwa mwaka 1988 bali ukweli ni kwamba alizaliwa mwaka 1990,  hivyo mwaka huu ametimiza umri wa miaka 30.

Katika maelezo yake kwenye ukurasa wake wa Instagram, Wema alikiri na kuweka wazi kuwa awali alitoa taarifa zisizo za kweli kuhusu mwaka wa kuzaliwa kwake. Hata hivyo taarifa za mwaka wa kuzaliwa kwake hasa mtandaoni zilionyesha kuwa ni mzaliwa wa Septemba 28, 1988.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad