Yemi Alade Kuwawakilisha Wanawake UN

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mwanamuziki wa Nigerian, Yemi Alade amehaidi kutumia sauti yake kwa ajili ya wahitaji wakiwemo wanawake, mara baada ya Umoja wa mataifa kumtangaza kuwa balozi wao.

Jumatano, Yemi alitajwa kuwa balozi wa nia njema na shirika la kimataifa la maendeleo (UNDP).


Katika ujumbe wake kwenye video, alisema atawaangazia wale wanaoangaika kiuchumi na kijamii kutokana na athari za mlipuko wa corona.


Yemi amesema yuko tayari kutoa suluhu ya changamoto nyingi kupitia ubunifu wake.


Wanawake ni miongoni mwa watu bilioni 4 ambao wanajaribu kukabiliana na corona bila ya kupata usaidizi wowote.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad