Mume wa Qeen Darling Arusha Dongo Jingine "Nilichogundua Instagram Wanamuonea Sana Mke Wangu Qeen Darling"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mume wa Qeen Darlin Isihack Ameandika Haya Kupitia Ukurasa Wake wa Instagram:

 

"Nilichogundua Instagram wanamuonea sana wivu mama @balqis.isihaka wale wasiolewa na hawana dalili za kuolewa...Sasa wale wote wenye wivu na Mke wangu @queendarleen_ wekeni emoji ya 😡 maana nataka kutoa zawadi kwa mtu mwenye comment nyingi🤣🤣 ila wasio na wivu weka" isihack


Wadau hawakubaki nyumba na kuanza kumshukia na Comments:


soudybrown : Hahahaha Dah.. hii Maana yake nini Sasa? 😂😂😂 Mzee Baba Naona unawakerrraaaaaa


janety_curtain: Tabia zakike izo



sisimizimrembo: Nlichogundua kiboko yako ni mange kimambi post moja tyu anakuharisha kila cku🤣🤣🤣🤣🤣

salimaabas76: Mambo mengine unayafanya tu kumfulahisha mke na sio wewe


safinaediga: Kah.tumuonee wivu kwa lipi mkikaa ndan ajulikan mwanamke nan mwanaume 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad