AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mfalme Wa Bongofleva @officialalikiba aiomba serikali kutoa fedha ambazo zitasaidia wasanii hasa wa Bongomovie kutengeneza filamu itakayosaidia jamii kuelewa maisha aliyoyaishi hayati Julius Kambarage Nyerere .
Kupitia Jukwaa La Kampeni Za CCM Katika Jiji La DSM Amesema...
"Naomba sana itengwe bajeti maalumu kwa ajili ya wasanii wa filamu kutengeneza filamu itakayoelezea historia ya Baba wa ataifa ili vizazi vijavyo vijifunze kutokana na mazuri ya baba wa taifa'' @officialalikiba
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK