Aliyosema DUNIA ni Tambarare na Wala Sio Duara Kama Wanasayansi Wanavyosema Apata Hofu na Maisha Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Miaka kadhaa iliyopita rapa B.o.B alitoa kauli ambayo iliushtua ulimwengu, ni nadharia kwamba dunia ni tambarare na sio duara kama inavyoelezwa kisayansi.


Kauli hiyo ya B.o.B ilianza kumletea madhara, amedai kuwa alianza kupata hofu ya maisha yake. Amesema kikawaida ukizungumza na kufichua vitu kama hivyo basi hakuna ambaye atakutazama kwa jicho zuri.

-

"Anybody that speaks truth to power or says controversial things ends up dead." B.o.B aliiambia HipHop DX

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad