AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nkasi Kaskazini amemtangaza Aida Khenani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa mshindi wa Ubunge katika Jimbo hilo baada ya kupata kura 21,226 akifuatiwa na Ally Keissy wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyepata kura 19,972.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK