Alshabaab wa wachilia huru mateka wawili raia wa Cuba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Raia hawa ambao ni maafisa wa Afya waliotumwa Kenya na Cuba kwa makubaliano ya ubadilishanani wa wahudumu wa afya katika kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizi mbili.


Madaktari Landy Rodriguez na Herera Correa walivamiwa na wanamugambo hao wa Alshabaab wakitoa huduma za Afya mjini Mandera Kenya uliopo Kazkazini Mashariki na umepakana na nchi ya Somalia. Alshabaab kwa mda wa mwaka mmoja wamewaweka kizuizini mateka hoa huku wakiwaachilia huru hivi leo baada ya kuafikiana mazungumzo baina ya serekali husika kwa mjibu wa ripoti kutoka kwa gazeti la Daily Mail la Ungereza.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad