Asilimia 85 wafanyakazi wa ndani hutemewa mate, hupigwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Kwa mujibu wa Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu, Amnesty International limesema, wafanyakazi wa ndani nchini Qatar wanapitia unyanyasaji, kupigwa, kudhalilishwa na mazingira magumu ya kazi.

Taarifa inasema 85% ya Wanawake wanafanya kazi zaidi ya saa 14 kwa siku, hawapewi siku za mapumziko na nyaraka zao za kusafiri zilichukuliwa na waajiri wao walipowasili nchini humo.

Wanawake hao hucheleweshewa mishahara au kutolipwa kabisa, hunyimwa chakula, hulazwa chini, hutemewa mate, hupigwa na kunyanyaswa kingono.

Qatar ni makazi ya wahamiaji milioni 2, wengi wao wakiwa masikini kutoka Bangladesh, Nepal na India, takriban Wanawake 173,000 ni wafanyakazi za nyumbani.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad