AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM, Askofu Josephat Gwajima amesema ana jina la kiislamu ambalo ni Rashid Gwajima
Alipata jina hilo baada ya kutelekezwa kwenye Msikiti ambapo Waislamu ndio waliomsomesha katika miaka yake ya awali
Kutokana na suala hilo, alipata sababu ya kuusaidia Uislamu hata alipokwenda Dar aliwasaidia kujenga Visima vya Maji
Gwajima ameyasema hayo alipokuwa kwenye Mahafali ya Darasa la Saba ya Shule ya Al Irshaad
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kaanza kuchanganyikiwa, wakati mambo bado
ReplyDelete