Azam Wachezea Kichapo Mbele Ya Mtibwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Azam Fc baada ya kuanza vizuri kwa kushinda mechi zote saba za ligi kuu bara, leo matajiri wa jiji la Dar es salaam, wamepoteza mchezo wao ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro kwa bao 1-0.


Goli pekee la wakata miwa limefungwa na Jaffar Kibaya dakika ya 62, bao ambalo limedumu mpaka mwisho wa mchezo.


Kwa matokeo hayo  Azam anaendelea kusalia kileleni mwa msimamo na pointi 21 baada ya michezo nane, Yanga anafuatia na pointi 19 ameshuka dimbani mara saba, Biashara United nafasi ya tatu na pointi 16 akicheza mechi nane na bingwa mtetezi Simba nafasi ya nne na pointi 13 akishuka dimbani mara nane.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad