Bad News: Katibu Mwenezi Chadema Auawa Singida

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Katibu Mwenezi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi, Nicholas Andrea Gui, amekutwa ameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana jana, Jumanne, Oktoba 7, 2020, majira ya saa moja jioni.


 


Taarifa hiyo imetolewa na Hemedi Kulungu mgombea ubunge Singida Magharibi (Chadema) ambaye amesema: “Katibu Mwenezi wa Chadema Kata ya Mhintiri, Jimbo la Singida Magharibi ameuawa kwa kukatwakatwa na mapanga kwenye mashamba yake. Amepatikana akiwa amefariki. Nimepata taarifa wakati huu nikitoka kwenye mkutano wa kampeni Kijiji cha Mayaha, Kata ya Minyughe. Nimewasiliana na OCD Wilaya ya Ikungi,” amesema Kulungu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad