BAKWATA: Viongozi wa dini wasifanye kampeni kwenye nyumba za Ibada

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baraza za Ulamaa BAKWATA Taifa chini ya Mwenyekiti, Mufti Sheikh Abubakar Zubeir Mbwana ambaye pia ni Sheikh Mkuu wa Tanzania limetoa maelekezo kutokana na yanayojitokeza katika Kampeni za Uchaguzi Mkuu


Limewasihi Viongozi wa Dini kubaki kuwa wasuluhishi na wapatanishi wa jamii inayowahusisha wafuasi wa vyama na wasio na vyama


Pia limewataka Viongozi wote wa Baraza kutofanya Kampeni, hasa katika nyumba za ibada, na wanaoenda kinyume na mafundisho ya Uislamu na maadili ya BAKWATA watachukuliwa hatua za kinidhamu


Aidha, limewataka Waislamu kuiombea nchi ili Uchaguzi Mkuu upite salama na kwa amani

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad