BREAKING: NEC yamtangaza Dr Magufuli kuwa mshindi kiti cha urais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemtangaza aliyekuwa mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM Dkt.John Pombe Magufuli kuwa mshindi wa nafasi hiyo baada ya kupata kura 12,516,252 akifuatiwa na Tundu Lissu wa CHADEMA mwenye kura 1,933,271

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hongera Mwaha...!!!
    Mkulu.. tumekuamini kukupa nchi.
    Kura zetu n Sauti tosha inayodhihirisha
    imani yetu katika kututumikia.

    Inshallah Allah akuhifadhi na Mahasidi
    wa ndani na nje. na Vibaraka wao.

    Leo baada ya Salat Al Maghrib tuna kuombea Dua kwa ALLAH. AKUHIFADHI NA
    KUKUPA AFYA NA HEKMA KWA KIPINDI KIJACHO. NA WASAIDIZI WAKO WOTE.

    HONGERENI WOTE WACHAGULIWA JIPANGENI
    NA MTANGULIZENI MUNGU KATIKA YOTE.

    ReplyDelete
  2. Hongera Rais Magufuli,,,ila nimemis instagram🙄

    ReplyDelete

Top Post Ad