Breaking News: Zitto Kabwe Apata Ajali Kigoma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



KIONGOZI Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, amepata ajali ya gari katika Kijiji cha Kalia, mkoani Kigoma,  akiwa njiani kuelekea kwenye mikutano ya kampeni katika Jimbo la Kigoma Kusini mchana wa leo, Oktoba 6, 2020.


 


Taarifa hizo zimethibitishwa kupitia akaunti ya Twitter ya ACT Wazalendo na kuongeza kwamba Zitto alikuwa na watu wengine wanne kwenye gari lililopata ajali, na kwamba kiongozi huyo amepelekwa hospitali kwa uchunguzi zaidi  na matibabu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Poleni, Hiyo ni Dhulma ya kumlia Chake Membe
    Halafu mnampiga Dafrau. Kweli jameni..!!

    Dua zake hizo zinakuandameni bado kiguru na babu madevu.

    ReplyDelete

Top Post Ad