CHADEMA yataka mchakato wa kuandaa mawakala uanze mapema ili waapishwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wagombea wa nafasi za udiwani na ubunge kupitia chama hicho, washirikiane na viongozi wa chama kuanza mapema mchakato wa kuandaa mawakala wao, ili waapishwe na wasimamizi wa uchaguzi, kama sheria ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi inavyoelekeza.


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho Mhe.Tundu Lissu ametoa agizo hilo alipokuwa akiomba kura kupitia mikutano yake katika majimbo na Bahi na Kongwa mkoani Dodoma.


Mhe.Lissu ambaye amekamilisha kampeni zake katika majimbo matano ya mikoa ya Singida na Dodoma ameendelea kuwaomba Watanzania wampigie kura nyingi za ndiyo zitakazompa ushindi utakaomwezesha kuunda serikali itakayoongozwa na CHADEMA

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad