AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki@official_chidibeenz amefunguka kuzungumzia kitu ambacho kimamuumiza zaidi kwa sasa kwenye muziki ambapo amedai muziki umeshuka kwa sababu ni wasanii watatu tu ambao wanapewa dili na kuacha wasanii wengine wakiendelea kula msoto.
Amedai hali hiyo inakwenda kuupoteza kabisa muziki wa Tanzania kwa kuwa kizazi ambacho kinaonekana kinafanya vizuri ni cha wasanii wa Diamond, Harmonize pamoja na Alikiba.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK