Chidi Benz ahoji dili kubwa kwenda kwa Diamond, Harmonize na Alikiba pekee

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki@official_chidibeenz amefunguka kuzungumzia kitu ambacho kimamuumiza zaidi kwa sasa kwenye muziki ambapo amedai muziki umeshuka kwa sababu ni wasanii watatu tu ambao wanapewa dili na kuacha wasanii wengine wakiendelea kula msoto.

Amedai hali hiyo inakwenda kuupoteza kabisa muziki wa Tanzania kwa kuwa kizazi ambacho kinaonekana kinafanya vizuri ni cha wasanii wa Diamond, Harmonize pamoja na Alikiba.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad