Clouds na EATV muwe mnawapanga wasanii Kutoka NJE kabla ya kuwafanyia interview

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 



Karibuni clouds wamekuwa wakiandaa show na wasanii kutoka nje ya nchi.

Kimbembe kimekuwa kikijitokeza kwenye interview na wasanii hao kwani jina la Diamond limekuwa haliepukiki na wakati mjengoni limepigwa X

Juzi juzi kwenye kipindi cha Friday night live EATV msanii kutoka Zimbabwe king 98 kamtaja mondi mpaka kero.

Alipoulizwa kuhusu wasanii wa Tanzania wanaosikilizwa Nigeria msanii wurld alijibu ni Diamond platnumz,v money na rayvanny.


Jana msanii rema kutoka Nigeria katua bongo. Alipoulizwa kuhusu Tanzania hakusita kumtaja Diamond platnumz.

My take;naziomba hizi media muwe mnawapanga hao wasanii. Wambieni wasanii wengine kama konde, Kiba, Nandy,n.k tofauti na hapo mtaaibika vya kutosha

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad